HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, June 16, 2013

KAMPUNI YA STEPS YATOA TUZO ZA BONGO MOVIE

Mkurugenzi wa Kampuni ya Steps, Diresh Solanki akimpa tuzo msanii bora wa kiume katika tasnia ya filamu nchini Jacob Stevin JB wakati wa utoaji wa tuzo hizo zilizofanyika usiku wa kuamkia leo na kuhudguliwa na wasanii wengi nchini hii ni kwa mara ya kwanza steps inaandaa tuzo hizi zitakazokuwa zikitolewa kila mwaka.
Pazia ra Tuzo za Steps Bongo Movie Awards ukiwa umefunguliwa na waziri wa Sayansi na Teknolojia Makame Mbawala
Mzee Majuto akipokea Tuzo ya msanii bora wa uchekeshaji.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad