MJUMBE wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Joseph Butiku (katikati) akichangia hoja katika Kikao cha ndani cha Tume hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya Tume Jijini Dar es Salaam leo. Wengine ni Wajumbe wa Tume, Alhaji Said El Maamry (kushoto) na Bw. Yahya Msulwa.
MJUMBE
wa Tume ya Mabadiliko y a Katiba, Bi. MwatumuMalale (kushoto)
akichangia hoja katika Kikao cha ndani cha Tume hiyo kilichofanyika
katika Ofisi za Makao Makuu ya Tume Jijini Dar es Salaam leo.Wengine ni
Wajumbe wa Tume, Bw. Awadh Said (katikati) na Bw. Richard Lyimo.
(PICHA NA TUME YA KATIBA)
No comments:
Post a Comment