HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 17, 2013

WAJUMBE WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA WAENDELEA NA VIKAO VYA MAJADILIANO

MJUMBE wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Joseph Butiku (katikati) akichangia hoja katika Kikao cha ndani cha Tume hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya Tume Jijini Dar es Salaam leo. Wengine ni Wajumbe wa Tume, Alhaji Said El Maamry (kushoto) na Bw. Yahya Msulwa.
 MJUMBE wa Tume ya Mabadiliko y a Katiba, Bi. MwatumuMalale (kushoto) akichangia hoja katika Kikao cha ndani cha Tume hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya Tume Jijini Dar es Salaam leo.Wengine ni Wajumbe wa Tume, Bw. Awadh Said (katikati) na Bw. Richard Lyimo.
(PICHA NA TUME YA KATIBA)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad