Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohammed Chande Othman akizungumza na uongozi wa Mkoa wa Rukwa katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo mapema jana tarehe 16.05.2013 ambapo alizungumzia mambo kadhaa muhimu kuhusu sekta ya mahakama nchini na umuhimu wa kuboresha amani, ulinzi na usalama katika taifa unaokwenda sambamba na kuweka msukumo wa maendeleo nchini.
Jaji Mkuu akifafanua jambo kwenye mkutano huo. Kushoto ni Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Alhaj Salum Mohammed Chima.
Jaji Mkuu akiongoza kikao hicho kilichojumuisha msafara wake na viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa wa Rukwa.
Mkuu wa Wilaya ya Kalambo (aliyesimama) Moshi Chang'a akizungumza katika kikao hicho. (Na Hamza Temba - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa - rukwareview.blogspot.com)
TAARIFA YA MKOA WA RUKWA KWA JAJI MKUU LEO TAREHE 16 MEI, 2013
No comments:
Post a Comment