HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 14, 2013

Tamasha la Mtemi Milambo Tabora

Tamasha la Utamaduni la kila mwaka Mtemi Milambo Festival  limezinduliwa Jumatatu 13/5/2013 uwanja wa Taasisi  mkoani Tabora.
Mgeni rasmi alikuwa Naibu Meya wa Tabora Mhe. Waziri Mlenda ambaye katoa wito kwa wananchi kuuenzi utamaduni wao kwani msahau kwao ni mtumwa. Kauli mbiu ya Tamasha hili mwaka huu ni KUSHOKE KUKAYA yaani turudi nyumbani tafsiri ya Kiswahili toka kinyamwezi. Pichani  Naibu Meya wa Tabora Mhe. Waziri Mlenda katika uzinduzi rasmi wa Tamasha hilo. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad