Mbungewa Jimbo la Tabora Mjini Mh. Aden Rage akikabidhi mchango
wake wa kwanza kwa Mhasibu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Bi. Grace
Fihavango mara baada ya kujiunga na Mfuko huo. Mheshimiwa Rage alijiunga na PPF chini ya mfumo wa hiari alipotembelea banda
la PPF kwenye wiki ya Hifadhi ya Jamii inayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square
mjini Dodoma.Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Bw. William Erio.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Bw. William Erio
(kushoto) akimkabidhi kitambulisho cha uanachama wa PPF Mbunge waTabora Mjini Mh.
Aden Rage (katikati) mara baada ya kujiunga na Mfuko huo. Mheshimiwa Rage
alijiunga na PPF chini ya mfumo wa hiari alipotembelea banda la PPF kwenye wiki
ya Hifadhi ya Jamii inayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square mjini
Dodoma.Anayeshuhudia tukio hilo kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa
LAPF Bw. Eliudi Sanga.
MbungewaJimbo la TemekeMh. Abbas Mtemvu akipata maelezo ya fomu ya kujiandikishana Mfuko wa Pensheni wa PPF kutoka kwa Afisa Michango wa
PPF Bi. Herieth Magala. Mhe.Mtemvu aliamua kujiunga na PPF alipotembelea kwenye banda hilo,
katika wiki ya Hifadhi ya Jamii inayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square mjini
Dodoma.
Mbungewa Jimbo la TemekeMh. Abbas Mtemvu akikabidhi mchango
wake wa kwanza kwa Mhasibu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Bi. Grace
Fihavangomara baada ya kujiunga naMfuko huo. Mheshimiwa Mtemvu alijiunga na PPF chini ya mfumo wa hiari alipotembelea banda
la PPF kwenye wiki ya Hifadhi yaJamii ya inayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square
mjini Dodoma.
Katikati ni Afisa Michango wa Mfuko huo Bi. Herieth Magala akishuhudia tukio hilo.
No comments:
Post a Comment