HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 30, 2013

Mdau Felix Mwagara na Bi. Lydia Mbonde waukacha ukapera

 Mpiganaji  Felix Mwagara akikata ndafu na mai waifu wake Lydia Mbonde katika mnuso wao mara baada ya kumeremeta  katika Kanisa Katoliki, Hai Mjini, Kilimanjaro.
 Felix na Lydia wakifungua muziki wakati wa mnuso wao katika Ukumbi wa Hai Garden, Papa Motel, mkoani Kilimanjaro.
 Mpiganaji Felix akiwasha mshumaa unaoashiria upendo wakati wa mnuso wa Send off kwa mchumba wake Lydia. Sherehe hiyo ilifanyika Mwenge Social Hall, jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Mpiganaji Felix Mwagara akipongezwa na wageni mbalimbali waliohudhuria sherehe hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad