Soko la Mabibo maarufu kama mahakama ya ndizi likiwa limejaa matope kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam hivi sasa,hali inayopelekea baadhi ya wafanya biashara wa sokoni hapo kuwa na wakati mgumu wa kufanya biashara zao.
Friday, May 3, 2013

Home
Unlabelled
Mahakama ya Ndizi Mabibo haipitiki wala haiingiliki
Mahakama ya Ndizi Mabibo haipitiki wala haiingiliki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment