Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA),Dada Pili Mpenda akiwa amevalia joho na zawadi tele mara baada ya kulamba Nondozz yake ya Diploma on Secretarial Studies katika Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania tawi la Tabora,ikiwa ni Mahafali ya 14 toka kuanzishwa kwa Chuo hicho.hafla hiyo ilifanyika Mei 4,2013 chuoni hapo
Dada Pili Mpenda (kulia) akiwa na Muhitimu mwenzie mara baada ya kilamba Nondozz zao.
Dada Pili Mpenda (kulia) akiwa na Wahitimu wenzie mara baada ya kilamba Nondozz zao.
No comments:
Post a Comment