HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 23, 2013

13 WAJISHINDIA ZAWADI KATIKA DROO YA MAISHA BOMBA NA BARCLAYS BANK

Meneja Masoko wa Barclays, Rahma Ngassa (kushoto) akizungusha pipa la bahati nasibu ya Beki hiyo ijulikanayo kama ‘Maisha Bomba na  Barclays Benki kupitia kampeni yake ya ya Sanduku la Dhahabu. Wengine pichani ni   Mwakilishi wa Michezo ya Kubahatisha, Humud Abdulhussein, Meneja wa Mawasiliano wa Barclays,Tunu Kavishe na Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa za Barclays  Samwel Mkuyu.
Meneja Masoko wa Barclays, Rahma Ngassa (kushoto) pamoja na viongozi wenzake wa Barclays Meneja wa Mawasiliano wa Barclays,Tunu Kavishe (katikati) na Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa za Barclays  Samwel Mkuyu wakiangalia pipa la bahati nasibu ya Beki hiyo ijulikanayo kama ‘Maisha Bomba na  Barclays Benki kupitia kampeni yake ya ya Sanduku la Dhahabu wakati wa kuchezesha droo za bahati nasibu hiyo leo
Mmoja wa wateja wa benki ya Blarclays ambaye pia ni Mwandishi wa Habari wa Magazeti ya Serikali, Regina Kumba akichagua moja ya majina katika droo ya bahati nasibu ya Beki hiyo ijulikanayo kama ‘Maisha Bomba na  Barclays Benki kupitia kampeni yake ya ya Sanduku la Dhahabu. Jumla ya washindi 13 walipatikana katika droo hiyo. Kutoka kushoto ni Meneja Masoko wa Barclays, Rahma Ngassa, Meneja wa Mawasiliano wa Barclays,Tunu Kavishe, Mwakilishi wa Michezo ya Kubahatisha, Humud Abdulhussein na Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa za Barclays  Samwel Mkuyu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad