HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 1, 2013

pasi la mchana mchana hiliiiii......

 Dereva wa Gari hii iliyopigwa pasi mchana wa leo maeneo ya Mikocheni B,jijini Dar es Salaam akimuelezea mwenzake hali halisi ya tukio lilivyokuwa mpaka kupelekea gari yake kuumia nanma hiyo.
Mashuhuda wa Tukio hilo wakimsikiliza kwa makini mzee wa feva ambaye alikuwa akipita katika njia hiyo na kukutana na tukio hilo.hakuna aliumia katika ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad