HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 15, 2012

Shomari Kapombe ndie mchezaji Bora wa Mwaka 2011

Kiungo chipukizi wa Simba SC na Timu ya Taifa (Taifa Stars), Shomary Kapombe (kushoto) akipokea mfano wa hundi ya Sh Milioni 12, kutoka kwa mgeni rasmi katika sherehe za utoaji wa tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania, Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili,Alhaj Ally Hassan Mwinyi (kulia) kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam usiku huu. Kapombe pia alishinda tuzo ya Mwanamichezo Bora chipukizi.Picha na Bin Zubeir Blog

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad