Kiungo chipukizi wa Simba SC na Timu ya Taifa (Taifa Stars), Shomary Kapombe (kushoto) akipokea mfano wa hundi ya Sh Milioni 12, kutoka kwa mgeni rasmi katika sherehe za utoaji wa tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania, Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili,Alhaj Ally Hassan Mwinyi (kulia) kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam usiku huu. Kapombe pia alishinda tuzo ya Mwanamichezo Bora chipukizi.Picha na Bin Zubeir Blog
Friday, June 15, 2012
Home
Unlabelled
Shomari Kapombe ndie mchezaji Bora wa Mwaka 2011
Shomari Kapombe ndie mchezaji Bora wa Mwaka 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment