HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 13, 2012

hawa ndio watakaoshiriki Redd's Miss World Tanzania 2012 jumamosi hii

Baadhi ya Warembo watakaoshiriki shindano la kumpata Redd's Miss World Tanzania 2012 wakiwa kwenye picha ya pamoja katika kambi yao iliyopo kwenye Hotel ya Kitalii ya Giraffe jijini Dar Es Salaam tayari kwa maandalizi ya shindano lao litakalofanyika siku ya jumamosi hii,lengo likiwa ni kumpata mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya Dunia yatakayofanyika nchini China.warembo hao ni 1.Gloryblaca Mayowa (Lindi)2. Hamisa Hassan (Kinondoni)3. Queen Saleh (Ilala)4. Christine Willium (Iringa)5. Pendo Laizer (Arusha) 6.Lisa Jensen (Mara)7. Mwajuma JUma (Tmk)8. Neema Saleh (Ilala) 9.Jeneffer Kalolaki (Ilala) 10.Stella Mbuge (Kinondoni).
Redd's Miss Tanzania,Salha Israel (kushoto) na Mkuu wa Itifaki wa Kamati ya Miss Tanzania,Albert Makoye (kulia) wakiwakaribisha Warembo hao kwenye kambi maalum iliyopo kwenye Hoteli ya Kitalii ya Giraffe Jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad