HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, May 20, 2012

Wazee wa Yanga wamng'oa Nchunga Madarakani

Katibu wa Baraza la Wazee wa muafaka wa Yanga, Ibrahim Akilimali akizungumza katika mkutano wa wanachama zaidi ya 700 wa Klabu ya Yanga uliofanikisha kumng'oa Mwenyekiti wake,Bw. Lloyd Nchunga.Mkutano huo umefanyika leo Kwenye uwanja wa Kaunda uliopo Klabuni hapo,kwenye Makutano ya Mtaa wa Twiga na Jangwani,jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya viongozi wa Baraza la Wazee wakiongozwa na mzee, Ibrahim Akilimali (wa tatu kushoto) wakiomba dua kabla ya kuanza kwa mkutano huo.
Wanachama wa Klabu ya Yanga wakishangilia baada ya kutangaziwa kuwa Mwenyekiti wa Klabu hiyo,Ameng'olewa katika uongozi huo.
wanachama wa Yanga wakijiorodhesha.
Mwenyekiti wa Yanga alieng'olewa uongozi na wanachama wa Yanga zaidi ya 700,Bw. Lloyd Nchunga

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad