HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 18, 2012

Mwili wa Patrick Mafisango waangwa leo kwenye Viwanja vya TCC Chang'ombe jijini Dar

Wachezaji wa timu ya soka ya Taifa (Taifa Stars), wakiwa wamebeba mwili wa aliyekuwa mchezaji wa timu ya Simba, marehemu Patrick Mafisango, tayari kutolewa heshima za mwisho leo kwenye viwanja vya TCC Chang'ombe, Dar es Salaam.
 Msafara wa mwili wa Mafisango ukiongozwa na Trafiki, kuingia viwanja vya TCC Chang'ombe, Dar es Salaam leo
 Mchungaji akiendesha ibada maalumu ya kuuaga mwili wa marehemu Mafisango
Sehemu ya umati wa waombolezaji waliofika kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa  marehemu Mafisano. Picha na Dotto Mwaibale.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad