HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 11, 2012

MH. PINDA AZINDUA MBIO ZA MWENGE JIJINI MBEYA LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwasha mwenge wa Uhuru wakati alipozindua mbio za mwenge huo kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikabidhi mwenge wa Uhuru kwa Kiongizi wa Mbio za Mwenge Taifa,Ernest Mwanosa wakati alipozindua mbio za mwenge huo kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad