Mara nyingi nikipita katika eneo hili la kuvutia,huwa namkuta samaki huyu akitoa maji mdomoni,tena kwa wingi tu.lakini siku kadhaa zilizopita nikakuta kanuna kweli kweli huku akiwa hatoi tena maji kama nilivyozoea kuona.sasa sijui kuna siku zingine huwa anagoma??
Friday, May 11, 2012

Home
Unlabelled
KUMBE HUYU SAMAKI SIKU ZINGINE HUWA ANAGOMA KUTOA MAJI..!!!
KUMBE HUYU SAMAKI SIKU ZINGINE HUWA ANAGOMA KUTOA MAJI..!!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment