HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, May 20, 2012

FLAVIANA MATATA KUTOA MSAADA KUMBUKUMBU YA MV BUKOBA

Mwanamitindo wa kimataifa Flaviana Matata Amekuja nchini akitokea nchini Marekani ambako ndiko yaliko makazi yake kwa sasa mahsusi kwa ya ajili ya kugawa msaada wa VIFAA VYA KUOKOLEA MAISHA MAJINI (life vest) ikiwa ni miaka 16 tangu meli ya MV BUKOBA izame ambapo mama yake mzazi alifariki kwenye ajali hiyo.anatarajia kugawa msaada wa vifaa hivyo Jumatatu ya 21 May jijini mwanza

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad