Kocha wa mchezo wa Masumbwi Abdalah Ilamba 'Komandoo' akimfanyisha mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo bondia Francis Cheka jijini Dar es salaam leo,Chaka anajiandaa na mpambano wake na Mada Maugo utakaofanyika jumamosi hii katika ukumbi wa PTA Sabasaba ambapo mshindi atakuwa bingwa wa Mkanda wa I.B.F na atanyakua Zawadi ya gari.
Wednesday, April 25, 2012
Home
Unlabelled
Cheka ajifua Kumkabili Maugo Jumamosi hii jijini Dar
Cheka ajifua Kumkabili Maugo Jumamosi hii jijini Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment