Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Injinia John Ndunguru (katikati mwenye shati la pinki) akiwa pamoja na Mkurugenzi msaidizi wa Ufundi,Injinia Ngome wakiwa ndani ya chumba cha Nahodha wa Kivuko cha Mv Magogoni wakipata maelezo kutoka kwa nahodha huyo wa kivuko cha Magogoni.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Injinia John Ndunguru wa (kwanza kushoto) akikagua moja ya Injinia ya kivuko cha Mv Magogoni jijini Dar es Salaam leo mchana.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Injinia John Ndunguru akikagua moja ya mlango wa kuingilia kwenye kivuko cha Mv Magogoni jijini Dar es Salaam leo.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Injinia John Ndunguru (mwenye shati la pinki) akiwa pamoja na Mainjinia wengine wa Wizara ya Ujenzi wakitoka ndani ya Kivuko cha Mv Magogoni mara baada ya Ukaguzi.
No comments:
Post a Comment