Ofisi ya TRA mkoa wa Mbeya uzio wake ukiwa umepambwa na mataulo ya yanayouzwa na wamachinga huku mamlaka husika zikiwatizama tu wamachinga hao bila ya kuwachukulia hatua yeyote |
Ofisi za TRA mkoa wa Mbeya zikiwa zimezungukwa na badhaa mbalimbali za wamachinga hao |
Kwani hawa wanamuibia mtu?, wanajitafutia rizki kihalali wewe inakuuma nini, acha kijicho,mbona mafisadi hamuwasemi wakati mnawajua. just mind your business.
ReplyDeleteFanyeni biashara Watz wangu ilimradi hamjaiba cha mtu. Tena hata ikiwezekana nendeni pale mlangoni mwa wabunge mkawauzie. Msikubali ng'o
ReplyDelete