HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 16, 2012

Jamani Tujihadhali na Vibaka hawa

Mfanyabiashara ndogo akimuokoa mkazi wa Dar es Salaam, Charles Maina ambaye ni dereva wa Magari ya kampuni ya Superdoll kutoka mikononi mwa vijana wanaodaiwa kuwa ni vibaka baada ya jaribio lao la kutaka kumpora mali zake kushindikana kama ilivyokutwa katika taa za kuongozea magari makutano ya barabara ya Nyerere na Kawawa. (Picha na hisani ya Habari Leo iliyopigwa na Fadhili Akida).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad