Haya maji yanayoonekana kwenye barabara hii ni maji machafu yanayotoka kwenye chemba iliyojaa kwa kipindi kirefu sasa na kufanya maji hayo kuja mpaka barabarani huku yakiwa na harufu kali sana na yenye kukereketa.hapa ni kwenye makutano ya Mtaa wa Aggrey na Jamhuri (Kitumbini) jijini Dar es Salaam.kiukweli maji haya yamekuwa ni kero kubwa kwa watumiaji wa njia hiyo pia hata wakazi wa eneo hilo.
Monday, March 5, 2012

Home
Unlabelled
Hizi Chem Chem katikati ya jiji sasa tumezichokaaaaa....
Hizi Chem Chem katikati ya jiji sasa tumezichokaaaaa....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment