HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 1, 2012

Dr. Shein akutana na Wawakilishi wa ILO na Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwakilishi wa Shilka la Kazi Duniani ILO,akiongoza ujumbe wa Wawakilishi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa waliopo hapa Tanzania,walipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe wa Wawakilishi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa hapa Tanzania,Ukiongozwa na Mwakilishi wa Shilka la kazi Duniani ILO,walipofika Ikulu Mjini Zanzibar kuzungumza na Rais,jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mwakilishi mpya wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo Bibi Diana Ellen Tempelman,aliyefika Ikulu kujitambulisha kwa Rais jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisisitiza jambo wakati akibadilishana mawazo na Mwakilishi mpya wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo Bibi Diana Ellen Tempelman,aliyefika Ikulu kujitambulisha kwa Rais jana,baada ya mazungumzo,(katikati) ni Kaimu Waziri wa Kilimo na Mifugo,Haroun Ali Suleiman,ambae ni Waziri wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika.Picha na Ramadhan Othman IKULU.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad