HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, March 13, 2012

Dk Shein akutana na Balozi wa Misri nchini ikulu ya Zanzibar leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Misri nchini Tanzania Hassan Moharam,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa ajili ya kujitambulisha kwa Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Misri nchini Tanzania Hassan Moharam,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa ajili ya kujitambulisha kwa Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akifuatana na mgeni wake Balozi wa Misri nchini Tanzania Hassan Moharam,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo,baada ya mazungumzo yao, na kujitambulisha kwa Rais.Picha na Ramadhan Othman IKULU.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad