Uongozi na Wafanyakazi wote wa Shirika Hodhi la Mali za Mashirika ya Umma (Consolidated Holding Corporation - CHC) wanasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzao mpendwa, Bwana .Joseph William Hellela, ambacho kilitokea ghafla nyumbani kwake Kiluvya kwa Komba, Wilayani Kinondoni Jumamosi Tarehe 11/02/2012.
Bwana Hellela alikuwa Mkurugenzi wa Madai na Miliki (Director of Loan Recovery and Estates).
Mazishi yamepangwa kufanyika Jumamosi tarehe 18/02/2012 shambani kwake Kibaha.
MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHAlI PEMA PEPONI.
AMINA.
No comments:
Post a Comment