HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, February 15, 2012

Sasa huu ni Utemi ama ni Nini??

Maana huyu jamaa kaweka gari yake hapa ambapo ni njia ya kupita magari mengine pia na huku akiona kabisa gari nyingine inakuja,eti anashuka na kuingia kwenye ATM.si Dharau hiziii...!!

2 comments:

  1. watanzania tu washamba na ushamba wa ujinga kabisa.

    ReplyDelete
  2. Ukiona mtu wa namna hii sio Mstaarabu,,,inaonyesha ali sota sana kimaisha hapo nyuma, na inaonekana hata hizo fedha anazokimbilia huko ATM amezipata ki bahati au kama vile amewazika watu ktk dili, na kuwa ni limbukeni wa mafanikio.

    Baadhi yetu sisi mtu akiwa na uwezo wa hela ya muda ,ya msimu na ya bahati ya kula na kubadili mboga anajiona yuko juu sana.

    Uungwana ni vitendo!

    ReplyDelete

Post Bottom Ad