Mchungaji Ambilikile Mwasapila a.k.a Babu wa Kikombe akiwa na Mdau Albart Jackson ambaye ni mmoja wa wadau wake aliyemtembelea katika ofisi zake zilizopo katika kijiji cha Samunge Loliondo. Hivi sasa babu yupo katika mchakato wa kujenga kituo kikubwa ambacho kitachukua umati mkubwa wa watu wengi.
Tuesday, February 28, 2012

Home
Unlabelled
Mdau Albart Jackson uso kwa uso na Babu Ambi,Loliondo
Mdau Albart Jackson uso kwa uso na Babu Ambi,Loliondo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment