HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 30, 2012

Twiga Stars yaisambaratisha Namibia kwa mabao 5-2 leo

Kikosi cha timu ya taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’ kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao na timu ya Namibia wa  kufuzu Fainali za Mataifa Afrika kwa Wanawake (AWC) uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Twiga Stars imeshinda 5-2.
 Mshambuliaji wa Twiga Stars, Asha Rashid ‘Mwalala’ akimtoka beki wa Namibia, Lovisa Mulunga.
 Mashabiki ...
 Mshambuliaji wa Twiga Stars, Mwanahamisi Omari akiruka daruga la beki wa Namibia, Esther Amukwaya.
 Wachezaji wa Twiga Stars kutoka kushoto ni, Mwanahamisi Omari, Etoe Mlenzi na Pulkaria Charaji  wakishangilia ushindi wa timu yao.

Picha zote Francis Dande wa Globu ya Jamii

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad