Leo ni siku ya Kuzaliwa ya mdau wa Libeneke letu hili la Mtaa kwa Mtaa afahamikae kwa jina la Hanifa Ismail ambaye ni Mwanafuzi wa Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino kilichopo jijini Mwanza akichukua Shahada ya Uchumi mwaka wa tatu.Blogu hii inachukua fursa hii kumtakia mafanikio mema katika masomo yake na maisha yake yote kwa ujumla.
Friday, January 27, 2012

Home
Unlabelled
Heri ya Siku ya Kuzaliwa Mdau Hanifa Ismail
Heri ya Siku ya Kuzaliwa Mdau Hanifa Ismail
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Happy Birthday toyouuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
ReplyDeleteGod protect u and have a long living as eagles live, thats more than hundred years.