HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, January 22, 2012

Haya Malizeni Haraka hapo na Muondoke...

 Askari wa Usalama Barabarani akiwa amewasimamia mafundi wa Lori lililokuwa limeharibika barabarani na kusababisha msongamano mkubwa wa magari mengine kumaliza kulitengeneza gari hilo kwa haraka na kuondoka maeneo ya Kinondoni Studio jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad