HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 2, 2011

atc sasa mambo mswano,yaanza kutoa huduma zake mikoa ya tabora na kigoma

Mkuu wa mkoa wa Kigoma Luteni Mstaafu Issa Machibya akiwatabulisha wageni muhimu kutoka Rwanda na Burundi walipokuja kushuhudia kuanza kwa huduma za ndege ya ATC kwenye mikoa ya Kigoma na Tabora jana.
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu na Mkurugenzi Mkurugenzi Mkuu wa ATC, Paul Chizi (mwenye suti nyeupe) akikata keki kabla ya safari kuanza katika uwanja wa Kimataifa wa JK Nyerere.
 Abiria wakipanda ndege ktk uwanja wa JK Nyerere kuelekea Kigoma.
Abiria kutoka Tabora wakishuka kwenye ndege ktk Uwanja wa Kimataifa wa Jk Nyerere jijini  Dar es Salaam jana.
 Wageni waalikwa mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad