Naibu Waziri wa Uchukuzi, Athuman Mfutakamba akimkabidhi bendera ya taifa Vodacom Miss Tanzania, Salha Israel kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha Tanzania katika fainali za mashindano ya urembo ya Dunia yatakayofanyika jijini London Novemba 6. Mrembo huyo anatarajiwa kuondoka Oktoba 19. Kushoto ni Mkuu wa udhamini wa Vodacom, George Rwehumbiza na Mlezi wa kamati ya miss Tanzania, Emmanuel Ole Naiko. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam leo.Picha na Francis Dande.
Monday, October 17, 2011

Home
Unlabelled
vodacom miss tanzania aagwa leo kwa safari ya uingereza kushiriki miss dunia
vodacom miss tanzania aagwa leo kwa safari ya uingereza kushiriki miss dunia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment