HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 25, 2011

Kabaaaaagghhhh........!! Kishalia

 Kabaaaghhh.........!!!! tayari kishalia hapo,yaani yule wa mbele kasevu kweli kweli maana ngoma ilikuwa yake hii.hapa ni kwenye makutano ya Barabara ya Kaunda na ile inayoendea kutokea kwenye mataa ya Salenda briji.
Baada ya kamzinga,sasa ni maelewano ya kutengeneza gari.sijui nani anatakiwa kumlipa mwenzake hapo??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad