HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 23, 2011

vodacom foundation yatoa msaada wa mabango yenye thamani ya sh.3.5 kwa watu wenye ulemavu

Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kamishna Msaidizi Mohamed Mpinga (wa pili kilia) akimshukuru Afisa wa Vodacom Foundation Grace Lyon wakati wa kukabidhi mabango 30 yenye thamani ya shilingi 3.5 M kwa ajili ya watu wenye ulemavu Nchini. Wa pili (kushoto) ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Barabarani kwa watu wenye ulemavu Jutoram Kabatele na Mwakilishi wa Compass Communications Mario Mpingirwa. (Mpiga picha wetu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad