Njia ya mkato ya kutokea Mwananyamala kuelekea Kijitonyama sasa imewekwa mkeka wa maana na kuwafanya wakazi wengi wa jiji la Dar kupita njia hii.pongezi nyingi wa waliolifikiria swala la kuikarabati njia hii na mpaka kufikia hatua hii ambayo kiukweli itasaidia sana kupunguza hadha ya foleni katika barabara kubwa.
Saturday, September 17, 2011

Home
Unlabelled
NJIA YA MWANANYAMALA - KIJITONYAMA SASA NI MKEKA
NJIA YA MWANANYAMALA - KIJITONYAMA SASA NI MKEKA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment