Moja ya gari lililokuwa limepakia maharusi pamoja na wapambe wao likiwa limepambwa kwa kufunikwa gari sima huku kwa nyuma kukiwa na kina mama waliokuwa wameketi katika gari hilohuku wakishangilia.hii ni namna wenzetu hawa wanavyolisheherekea swa la kumeremeta kwa wawili hao.
No comments:
Post a Comment