HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, September 11, 2011

Jumuiya ya Watanzania Uingereza yatoa pole Zanzibar


Kwa niaba ya jumuiya ya watanzania waliopo nchini uingereza chini ya Mwenyekiti wa TANZ- UK taifa imesikitika sana na kuwapa pole watanzania wenzetu wa zanzibar kwa msiba mkubwa uliolikumba taifa. 

Watanzania wote tulio hapa tunaungana nanyi kwa pamoja katika wakati huu mgumu na pia tuko tayari kushirikiana kwa hali na mali kuwafariji ndugu na jamaa kwenye msiba huu.

Mwenyekiti TANZ- UK. Dr John Lusingu 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad