Meneja wa kinywaji cha Redd's Original,Victoria Kimaro akizungumza na warembo watakaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania wakati alipowatembelea katika hoteli ya Girrafe Ocean View,Kunduchi jijini Dar es salaam leo.kulia ni Mshauri Nasaha kwa warembo hao,Sussane Mrema.
Baadhi ya Warembo wa Vodacom Miss Tanzania wakimsikiliza kwa makini Meneja wa Kinywaji cha Redd's Original,Victoria Kimaro (hayupo pichani) wakati alipokuwa akizungumza nao leo.
Baadhi ya Warembo wa Vodacom Miss Tanzania wakimsikiliza kwa makini Meneja wa Kinywaji cha Redd's Original,Victoria Kimaro (hayupo pichani) wakati alipokuwa akizungumza nao leo.
Mshauri Nasaha,Bi. Sussane Mrema au Bi. Suzie akitoa ushauri nasaha kwa warembo wa Vodacom Miss Tanzania wakati Meneja wa Kinywaji cha Redd's Original alipokuwa akizungumza na warembo hao leo kwenye hoteli ya Girrafe Ocean View,Kunduchi jijini Dar.

Warembo watakaoshiriki kinyang'anyiro cha Miss Tanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja leo.
No comments:
Post a Comment