HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 11, 2011

DALA DALA MBEYA ZAPADISHA NAULI KITUO HADI KITUO SH 1000 KISA MAFUTA HAKUNA

Dala dala za mkoani Mbeya zimepandisha nauli kutoka sh 300 mapaka sh 1000 kituo hadi kituo kutokana na sababu ya kukosekana kwa huduma ya mafuta katika vituo vyote vya mjini mbeya,hali iliyopelekea wakazi wa jiji hilo kulalamika.
Hiki ni kituo cha mafuta cha BP Mbeya toka juzi wanasema hawana mafuta.Picha na-Mbeya yetu Blog

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad