HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 8, 2011

mdau Phillip wa TBC aukacha ukapera

Mdau Phillip Syplian  na mai waifu wake Bi. Usu wakila kiapo cha ndoa yao takatifu iliyofanyika mwishoni mwa wiki,jijini  Dar huku kushoto na kulia wakiwa ni wapambe wao wakishuhudia tukio hilo.
 Mfanyakazi wa TBC,Phillip akiwa katika pozi la picha na Mkewe Usu mara baada ya kufunga pingu za maisha hapo jana.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad