Mkazi wa Kata ya Ulaya, Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro, ambaye jina lake halikufahamika mara moja akikata nyama ya mbuzi iliyotundikwa katika kibanda cha Nyasi kwa ajili ya kuwauzia wateja wake waliopo katika Kata hiyo siku ya mnada uliofanyika jana eneo hilo, kama alivyokutwa.
Mkazi wa Kata ya Ulaya, Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro, ambaye jina lake halikufahamika mara moja akimhudumia mteja wake mara baada ya kununua nyama ya mbuzi iliyotundikwa katika kibanda cha Nyasi siku ya mnada uliofanyika jana eneo hilo, kama alivyokutwa.Picha na John Nditi wa Globu ya Jamii.
No comments:
Post a Comment