HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 29, 2011

Wataalam Washapitia mfuniko hapa

Hapa ni pembeni ya Barabara ya Nyerere Avenue mjini Dodoma mbele kidogo ya ile Bar maarufu ya Chako ni Chako,jamaa wenye matumizi ya halali na mifuniko ya chemba washapitia na kuipeleka wanakoona inahusika kwena.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad