leo katika pita pita zangu za Mtaa kwa Mtaa nilikuwana na hawa watu wakihangaika kusukuma gari lililogoma kuwaka wakati wakitaka kwenda kwenye sherehe ya harusi.hali iliyopelekea kila aliekuwepo ndani ya gari hilo kuteremka na kusukuma.
Friday, July 8, 2011

NGOMA INAPOGOMA KWENDA MNUSONI
Tags
# HABARI ZA NYUMBANI
HABARI ZA NYUMBANI
Labels:
HABARI ZA NYUMBANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment