HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 8, 2011

MTANANGE WA YANGA NA ST. GEORGE UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR

 kikosi cha Yanga
 Kikosi cha St. George.
 Beki wa pembeni wa timu ya Yanga,Godfrey Taita akiwania mpira na Beki wa timu ya St. George ya Ethiopia,Abebaw Butako katika mchezo wa nusu fainali ya Kagame-Castle Cup unaoendelea hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar.mpaka hivi sasa hakuna timu iliyoweza kuona lango la mwenzake ikiwa ni dakika ya 38 ya mchezo.
 moja ya mikiki golini mwa St. George.
Sehemu ya Mashabiki wa Yanga.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad