HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 1, 2011

MAMBO YA CHAPATI HAYOO

Yaani hapo kama hukutoa oda tangu jana yake basi imekula kwako,pamoja na kwamba unamuona mama nanihii akifanya mambo lakini utaambiwa zimeshaisha japo bado zingine ziko jikoni.hao waliokaa pembeni wanasubiria ni wale waliotoa oda zao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad