HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 22, 2011

MDAU MAMA EDITH NDANI YA ZENJY

Kamera ya Mtaa Kwa Mtaa jana ilibahatika kukutana na Mmoja wa Wadau wake wakubwa katika libeneke hilo mwenye makazi yake kule kwa Bibi (UK) afahamikae kwa jina la Mama Edith na hapa akiwa na familia yake katika bustani ya Forodhani visiwani Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad