WANAENDELEA KUTUMALIZA TU! NA WATU KIMYA TU...HIVI KWELI HAMNA UFUMBUZI WOWOTE KUHUSU HILI SWALA? YAANI INASIKITISHA KWELI KUONA JAMBO KAMA HILI....TENA NDANI KABEBA ROHO NYINGI SANA, IKITOKEA UTASIKIA BAHATI MBAYA AU NI KAZI YA MUNGU, MBONA TUNAMSINGIZIA SANA MWENYEZI MUNGU. MIMI BINAFSI NINGEWEKA SHERIA KALI SANA TENA SANA KUHUSU HAWA WASHENZI MADEREVA WA MABASI NA MAFUSO.
Hawa jamaa sijui walÃtwe jina gani sheria za barabara wanazijua wewe ulie upande wa kushoto uwezi kumpita mwenzio ikiwa upande wako kuna alama ndefuuu ya mstalii mweupe.....hiyo ina maana uko kwenye kona au mtelemkoo uko uwendako,,,wanasubili ajali ikitopkea wanakimbia Dunda
WANAENDELEA KUTUMALIZA TU! NA WATU KIMYA TU...HIVI KWELI HAMNA UFUMBUZI WOWOTE KUHUSU HILI SWALA? YAANI INASIKITISHA KWELI KUONA JAMBO KAMA HILI....TENA NDANI KABEBA ROHO NYINGI SANA, IKITOKEA UTASIKIA BAHATI MBAYA AU NI KAZI YA MUNGU, MBONA TUNAMSINGIZIA SANA MWENYEZI MUNGU. MIMI BINAFSI NINGEWEKA SHERIA KALI SANA TENA SANA KUHUSU HAWA WASHENZI MADEREVA WA MABASI NA MAFUSO.
ReplyDeleteHawa jamaa sijui walÃtwe jina gani
ReplyDeletesheria za barabara wanazijua wewe ulie upande wa kushoto uwezi kumpita mwenzio ikiwa upande wako kuna alama ndefuuu ya mstalii mweupe.....hiyo ina maana uko kwenye kona au mtelemkoo uko uwendako,,,wanasubili ajali ikitopkea wanakimbia
Dunda