
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Darts ikiwa katika picha ya pamoja.

Timu ya Taifa ya Uganda ikiwa katika picha ya pamoja.

Timu ya Kenya.

yaani ni full shangwe kwa wachezaji wa Darts wa Tanzania.

Mratibu wa mashindano ya mchezo wa Darts,Innocent Melleck akipanga vikombe vitakavyokabidhiwa kwa washindi leo mara baada ya kumalizika kwa fainali hizo jioni hii.

No comments:
Post a Comment