HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, April 24, 2011

SAFARI LAGER DARTS KUMALIZIKA LEO MOSHI BAR

Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Darts ikiwa katika picha ya pamoja.
Timu ya Taifa ya Uganda ikiwa katika picha ya pamoja.
Timu ya Kenya.
yaani ni full shangwe kwa wachezaji wa Darts wa Tanzania.
Mratibu wa mashindano ya mchezo wa Darts,Innocent Melleck akipanga vikombe vitakavyokabidhiwa kwa washindi leo mara baada ya kumalizika kwa fainali hizo jioni hii.
Baadhi ya wachezaji wa Darts toka nchi za Kenya na Uganda pamoja na Tanzania wakiwa na Katibu mkuu wa mchezo wa Darts Taifa,Mohamed Bitegeko (pili kulia) huku wakiwa wamevizunguka vikombe vitakavyokabidhiwa kwa washindi wa mchezo katika fainali zinazoendelea kufanyika hivi sasa kwenye ukumbi wa Moshi Bar,Manzese Tiptop.
Mwanamama Dinah Amoding kutona nchini Uganda akirusha Datr kwenye fainali za mchezo huo kwa upande wa Afrika Mashariki,zinazoendelea jioni hii katika ukumbi wa Moshi Bar,Manzese Tiptop jijini Dar.
Mchezaji Opoloto Partick wa Uganda,akifanya vitu vyake.
Mchezaji wa Uganda, Julieth Kantumbale akirusha mshale ubaoni jioni hii.
Baadhi ya wachezaji na watazamaji wa fainali za mchezo wa Darts wakifuatilia kwa makini mchezo huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad