HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 14, 2011

Mzigo Umeshuka

Wafanyabiashara wa Majenereta wa maeneo ya barabara ya Morogoro wakiwa wameyapanga kwa wingi majenereta hayo ambayo kwa sasa yamekuwa ni dili sana kutokana na hali ya mgao wa umeme unaoendelea sehemu mbali mbali hapa nchini.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad