HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 13, 2011

Mkutano wa Wahariri wa Habari za Michezo kuzungumzia Kili Taifa Cup leo


Meneja wa Bia ya Kilimanjaro ambao ndio wadhamini wakuu wa Ligi ya Kili Taifa Cup 2011,George Kavishe akizungumza katika mkutano na Wahariri wa Habari za Michezo kutoka vyombo mbali mbali vya Habari juu ya mchakato mzima wa ligi ya Kili Taifa Cup 2011 utakavyokuwa,mkutano huu umefanyika mchana huu katika hoteli ya Paradise,Benjamin Mkapa jijini Dar.

Katibu Mkuu wa TFF,Angetile Osseah akijibu moja ya maswali yaliyokuwa yakiulizwa na Wahariri wa Habari za Michezo katika mkutano uliofanyika mchana huu katika hoteli ya Paradise,Benjamin Mkapa tower,jijini Dar.

Meza Kuu ikisikiliza maswali toka kwa wahariri wa Habari za Michezo.

Mkutano ukiendelea.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad